Posts

Showing posts from May, 2020

UMUHIMU WA KITUNGUU SWAUMU KATIKA NDOA

Kumekuwapo na tatizo la wanaume wengi kuwahi kufika kileleni, huku kitendo hicho kikichanganywa  na sababu mbalimbali ikiwamo mawazo na sababu nyinginezo. Sifa kuu zinazokifanya kitunguu swaumu kuwa na uwezo na faida nyingi mwilini :   -Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu. -Husaidia kuzibiti  kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na hivyo kupunguza madhara ya kisukari. -Ukivikata vipande vidogo vidogo hivi (chop), vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo kwa kitaalamu kama ‘Allicin’ ambayo ni dawa dhidi ya bakteria, na ‘Phytoncide’ ambayo huua fangasi mbalimbali mwilini. JINSI YA KUANDAA HICHO KITUNGUU : 1. Chukuwa kitunguu swaumu kimoja. Kigawanyishe katika punje punje 2. Chukua punje 6 3. Menya punje moja baada ya nyingine. 4. Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo sana na kisu na uache hivyo ka...

MADHARA YA KUTUMIA DAWA ZA KUONGEZA UWEZO WA KUFANYA MAPENZI/SEX (VIAGRA au VEGA)

Viagra au vega,ni dawa inayotumika sana miongoni mwa wanaume kwa lengo la kuongeza uwezo wao wa kufanya mapenzi ( sex),dawa hizi mara nyingi zinatumiwa na watu wenye matatizo katika mfumo wa uzaziyaani wasioweza kusimamisha vizuri kiungo cha uzazi lakini pia, imekua ikitumika hata kwa watu wasio kua na tatizo hilo ila anaitumia kwaajili ya kumkomoa mwanamke flani na wengine hupenda kuiga vile wanavyofanya waigiza sinema za ngono (porn graph). bila kutambua madhara yake makubwa watu wanajiingiza kuzimeza dawa hizi. KWA LEO NAPENDA KUKUFAHAMISHA  MADHARA YAKE: Mtu anaetumia viagra bila ushauri wa dactari huku akiwa na matatizo mengine ya kiafya kama pressure yuko hatarini kupoteza uhai wake. Kadri mtu anavyotumia Viagra ndivyo tatizo linavyozidi kua baya zaidi, kwasababu viagra inamfanya asimamishe kwa muda mfupi hivyo akitaka kufanya mapenzi siku ingine lazima azimeze tena dawa hizi hali hii ya kuzimeza kila wakati inamfanya kua torelance ( tegemezi hali ya kumfanya azidi kuongeza d...

UFAHAMU UGONJWA WA HOMA YA INI, KINGA NA TIBA LISHE ZAKE:

Homa ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus). Zipo aina mbalimbali za homa hii na hutofautiana kutokana na mazingira ya utokeaji au usambaaji wake. Kwa Tanzania ugonjwa wa homa ya Ini B ndio aina kubwa ya ugonjwa ambao unaiathiri jamii kwa kiwango kikubwa na ndio unaoongoza kwa vifo vya watu zaidi. Homa ya Ini B huathiri kwa Virus. Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini. Watu takribani billion mbili wameathirika na tatizo hili na watu 350 milioni wanaishi na ugonjwa huu lakini pia watu 600000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B). Ugonjwa huu kama haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye Kifo . JINSI UNAVYOAMBUKIZWA : Katika maeneo hatari zaidi duniani, Virusi vya Hepatitis B (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati...

JE UNAZIFAHAMU FAIDA ZA KULA PARACHICHI KWA WANAUME?

Parachichi ni tunda linalostawi maeneo mbalimbali duniani ikiwa ni pamoja na hapa nchini kwetu Tanzania. Kwa hapa Tz, Parachichi hupatikana kwa wingi zaidi maeneo ya nyanda za juu na kwenye hali ya hewa ya Ubaridi wa wastani.  Watafiti wa tibalishe wanaliona tunda la mparachichi kama nyumba ya virutubisho (Nutrients powerhouse) kutokana na viini lishe vilivyomo kwenye parachichi kama ifuatavyo;- *Vitamin B6 *Vitamin B12 *Vitamin A *Vitamin K *Vitamin E *Vitamin D *Vitamin D2 *Vitamin D3 *Vitamin C *Fatty acid   *Potassium (mg)485 *Sodium (mg)7 *Thiamine (mg)0.07 *Riboflavin (mg)0.13 *Niacin (mg)0.5 *Caffeine *Omega 3 *Maji (g)73.22 *Mafuta (g)14.66 *Wanga (g)8.53 *Nishati (Kcal)160 *Fiber- nyuzinyuzi (g)6.7 *Sukari (g) 0.66 *Protini (g)2 *Madini ya Calcium (mg)12 *Madini ya chuma (mg)29 *Madini ya zinc (mg)0.64 *Madini ya magnesium (mg)29 *Phosphorus (mg)52 ★Virutubisho vyote hivyo hupatikana kwenye nusu kipande cha parachichi au kwenye gramu 100 ya parachichi. FAIDA ZA K...

MAAJABU YA TENDO LA NDOA 18+

Hii imewalenga zaidi watu walio kwenye ndoa na kuwaandaa wanaotaka kuingia kwenye ndoa. 1. Mwanaume hutoa mbegu hadi milioni 300 kwa tendo moja tu la ndoa, lakini mbegu moja pekee hutumika kuzalisha mtoto inapokutana na yai la mwanamke lililotayari. 2.Kufika kileleni kwa mwanamke ni msaada mkubwa kiafya kwake. Huweza kumsaidia mwanamke kupunguza hatari zaidi ya kupata magonjwa ya moyo, kupooza, kansa ya matiti pamoja na msongo wa mawazo. 3. Mwanamke anapokuwa kileleni hukaa takribani sekunde 20 hadi 14, tofauti na wastani wa mwanamme ambaye hukaa kwa wastani wa sekunde 6 tu. Hata hivyo, tofauti na mwanamke, mwanaume anapokuwa kileleni hupitiwa na giza zito katika ubongo wake kwa sekunde takribani tatu (blackout). 4. Tendo la ndoa hupunguza maumivu ya kichwa. Utafiti uliofanywa na wa wataalam wa saikolojia na uhusiano kutoka Chuo Kikuu cha Munster nchini Ujerumani (2013) umebaini kuwa tendo la ndoa husaidia kupunguza maumivu ya kichwa. Utafiti huo Ulibaini kuwa mtu mmoja kati ya watano ...

FAHAMU KUHUSU PEP DAWA ZITUMIKAZO KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU

Je, utafanya nini Iwapo kinga  ilipasuka wakati wa kujamiiana au unafikiri umeambukizwa VVU kwa namna nyingine?. PEP ( Post Exposure Prophylaxis), hutumika ndani ya masaa 72 baada ya kujamiana na mtu mwenye  VVU. Unaweza kupata PEP kutoka kliniki iliyopo karibu nawe. KUFANYA KAZI, PEP lazima ianzishwe kabla ya masaa 72 (siku 3) zimepita baada ya kufanya ngono na mwenye VVU. Vidonge vya PEP vinapaswa kunywewa kila siku kwa mwezi mmoja. MAUDHI MADOGO MADOGO Vidonge hivi vya PEP vinaweza kusababisha madhara fulani kama kichefuchefu au kizunguzungu ambacho kinaweza kufanya vigumu kunywa dawa.  Baada ya mwezi mmoja utapima tena  VVU ili uhakikishe kuwa bado haujaathirika na VVU.

JINSI YA KUTUMIA CHUMVI KUPIMA KAMA UNA/ANA MIMBA

Ni kawaida kushangaa namna kipimo hiki kinavyofanya kazi kama huu ni wakati wako wa kwanza kujua kuhusu kipimo hiki.  Ukweli ni kuwa chumvi, kiungo ambacho kila mtu yu'nacho nyumbani kwake- inaweza kuwa kipimo bora cha ujauzito. MAHITAJI. • kikombe chepesi ama chupa  •chumvi kiasi kidogo tu •mkojo wako wa kwanza wa asubuhi JINSI YA KUPIMA MIMBA NA CHUMVI - 1. kojoa kwenye kichupa au kikombe chako. (kumbuka kutumia mkojo wa asubuhi kwani huwa na matokeo bora zaidi. 2. Weka nusu kijiko cha chumvi kwenye mkojo. 3. Changanya vitu hivi viwili vizuri. 4. Jipe dakika 3 hadi 5 5. Yatazame mabadiliko. KUBAINI MATOKEO . ✔️Ukiona vitu vilivyoko kwa chupa lako vimeanza kuwa rangi ya maziwa, hiyo ni ishara kuwa una mimba. ❌Kama mkojo umebaki hivyo bila kutoa sauti yoyote ama kubadili rangi kuwa ya maziwa, ni wazi kuwa hamna cha mimba.