JITIBU NYUMBANI KWAKO (TIBA MBADALA)


1. KIUNGULIA

πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
Aliyepatwa na kiungulia ale nyanya 1 asubuhi na jioni1 kitaondoka

2. KUZUIA KUHARISHA

πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
Kamua maji ya chungwa lita1
Kunywa glass1 kutwa mara 3
Kuharisha kutakata.

3.HAMU YA KULA

πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
Andaa juice ya machungwa usichanganye na chochte
Kunywa glass moja siku mara3 mpk iishe
Hamu ya kula itakuja

4. KIDONDA SUGU(kisichosikia dawa)

πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
Yaponde maua ya mchungwa mpaka yawe laini kisha weka kwenye kidonda baada ya kukiosha kitapona.

5. MAGONJWA YA NGOZI

πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
Osha sehemu iliyoathirika ponda maua ya mchungwa na pakaa sehemu iliyoathirka kutwa mara 2 patapona

6. MAPUNYE NA FANGASI

πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
Chukua majani laiini ya mchungwa yaponde mpk yalainike kisha pakaa palipo athirika.

7. VIDONDA VYA TUMBO

πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
Anika maganda ya parachichi mpaka yakauke vizuri
Yatwange upate unga
Chota unga huo vijiko 2 changanya na asali safi vijiko 2 kula asubuhi na jioni kwa wiki1.

8. TUMBO LA HEDHI

πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
Chemsha majani ya mparachichi
Kunywa glass1 asubuhi na jioni siku7.

9. ANAYEKOJOA KITANDANI

πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
Chemsha ndevu za mahindi anywe kikombe cha chai asubuhi na jioni siku 3-7

10. ASIYEONA VIZURI

πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
Achemshe mizizi ya mahindi chuja kunywa glass1 Kutwa mara 2 kwa siku 3.


You can follow @biturojr.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUTUMIA CHUMVI KUPIMA KAMA UNA/ANA MIMBA

MAAJABU YA TENDO LA NDOA 18+

UMUHIMU WA KITUNGUU SWAUMU KATIKA NDOA